Bunge: Tumeshatuma Fedha za Matibabu ya Lissu

Mbunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania leo Septemba 22, 2017 limeibuka na kutoa maelezo kufuatia kauli aliyotoa Freeman Mbowe kuhusu fedha za wabunge ambazo walichanga kwa ajili ya matibabu ya Tundu Lissu na kusema tayari wametuma fedha hizo



Taarifa iliyotolewa na Bunge imesema kuwa jumla ya fedha milioni 43 zilizochangwa na wabunge zilitumwa moja kwa moja kwenye akaunti ya benki ya Hospitali ya Nairobi toka Septemba 20, 2017. 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo