skip to main |
skip to sidebar
AUDIO: Mbunge wa CUF aukubali Mziki wa Rais Magufuli
Mbunge wa Tanga mjini Kupitia CUF, amesema nyumba ina milango mingi na kila mtu anatumia mlango aupendao kupita ili aingie ndani, hivyo amesema haijalishi yeye kaupata ubunge kwa chaa gani lakini sasa ni wakati wa kufanya kazi
Ameyasema hayo mkoani Tanga mbele ya Rais John Magufuli muda mchache kabla ya kuzindua kiwanda cha Kilimanjaro kilichopo Tanga kwa ajili ya kutengeneza saruji
Msikilize mwenyewe alichokisema hapa chini:-
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi