Polisi wang'ang'ania Lissu, Mawakili wake wazuiwa Kumuona

Wakili wa Rais wa Chama Cha Wanasheria Nchini Tundu Lissu,  Fatma Karume amesema kuwa Jeshi la Polisi halipo tayari kumwachia kwa Dhamana Mbunge huyo wa Singida Mashariki.

Lissu alikamatwa Jana kwenye Uwanja wa Ndege  wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam, alipokuwa akirejea Kutoka Mjini Dodoma.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo