Kamati ya Utendaji ya Simba SC imemteua Salim Abdallah na Iddy Kajuna ambao ni wajumbe wa kamati ya Utendaji kusimamia majukumu ambayo yalikuwa yakifanywa na Rais wa klabu Evans Aveva na Makamu wa Rais, Geofrey Nyange Kaburu.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi