June 30, 2017 manamo majira ya mchana gari la mzigo lenye number za usajili Z 737 AX, ambalo lilikua na shehena ya mchanga lime pinduka na kuelemea gari ya abiria ya FUONI SAATENI.
Tunaendelea kufuatilia ili kuwaletea taarifa rasmi………….
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi