AUDIO: Deodatus Balile "Uzalendo wa nchi Hauletwi na Vyombo vya habari Pekee"

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Jamhuri Deodatus Balile amemuomba Rais Dkt John Magufuli kuvisaidia vyombo vya habari kuleta uzalendo

Balile ameyasema hayo leo wakati akizungumza katika Kipindi cha Kipimajoto kinachorushwa na ITV, ambapo amesema uzalendo unashuka kwa taifa huku pia akiona kuwa uzalendo wa taifa hauwezi kuletwa na vyombo vya habari pekee, bali ni kila Mtanzania

Sikiliza sauti hii hapa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo