Cameroon Yatinga Fainali AFCON, Yaitungua Ghana 2-0

Timu ya Taifa ya Cameroon imefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) yanaoendelea kufanyika kule nchini Gabon, baada ya kufunga timu ya Ghana goli 2-0 yaliyowekwa mikiani na Ngadeu Ngadjui (dakika ya 72) na Christian Bassogog (dakika ya 90). kwa matokeo hayo, Timu ya Cameroon itakutana na Timu ya Misri katika mchezo wa fainali utakachezwa Februari 5, 2016 katika dimba la Libreville, nchini Gabon.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo