Ndege yaanguka Kilolo Mkoani Iringa


Ndege ndogo ya kupuliza dawa ikitokea maeneo ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imeanguka katika kijiji cha Ipalamwa wilayani humo, jana jioni, huku taarifa za awali zikidai kwamba hakuna mtu aliyepoteza maisha .

Mkuu wa wilaya ya Kilolo Asia Abdallah amethibitisha kutokea kwa ajili hiyo na kuwa ndege hiyo ilikuwa ikitoka Mufindi kwenda Kilombero mkoani Morogoro na kuwa rubani wa ndege hiyo ametoka salama


Credits; bongoleaks


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo