MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA MAMIA KUMZIKA GEORGE MWAIKELA

 MKE wa Rais,Salma Kikwete akiaga mwili wa marehemu, George Mwaikela ambaye ni mwana familia wa Kikwete na Mwenyekiti wa Chama Cha Wachimba Madini mkoa wa Mbeya (MBEREMA)aliyefariki kwa ajali ya gari jijini Dar es salaam na kuzikwa kijijini kwao, Ngujibwaji,Tukuyu.Picha na Christopher Nyenyembe


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo