Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa atawasili mkoani Ruvuma kesho kwa ziara ya siku tano ambapo katika ziara hiyo atapita kukagua miradi mbalimbali ndani katika wilaya ya Mbinga na wilaya ya Songea Halmashauri ya Madaba. Kwa undani wa habari hii hii hapa video yake.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube