Bwana Harusi aliyemkimbia Bibi Harusi Mbeya Afunga Ndoa, Angalia Picha zote hapa






  Bibi harusi Giveni Mgaya akisaini kwenye cheti cha ndoa mara baada ya kula kiapo cha uaminifu bada ya kufunga ndoa na Samwel Mwakalobo kwa mara ya [ili baada awali bwana  harusi aliingia mitini katika kanisa la KKKT Isanga jijini Mbeya kulia ni Mchungaji wa kanisa hilo Mathius Mwaijungu 
Bwana harusi aliyeingia mtini Samwel Mwakalobo akisaini kwenye cheti cha ndoa baada ya kufunga ndoa na Given Mgaya katika kanisa la kiinjili kiludheli Tanzania KKKT, Usahrika wa Isanga jijini Mbeya

Maharusi Samweli Mwakalobo na Bibi Harusi Mgaya,wakiteta jambo ndani ya kanisa la kiinjili la kilutheli Tanzania KKKT usharika wa Isanaga wakitetea jambo mara baada ya kula kiapo cha uaminifu bada ya kufunga ndoa kwa mra ya pili baada ya awali kuingia Picha na kenneth Ngelesi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo