Updates kutoka Ikulu: Rais Magufuli asema Aachwe anyooshe nchi, katiba Mpya baadaye

Rais Dkt John Magufuli amesema suala La katiba Mpya sio kipaumbele cha serikali yake na hakuna sehemu yeyote alipooahidi wakati wa kampeni kuwa atashughulikia ratiba mpya

Rais Magufuli ameyasema hayo Ikulu jijini Dar Es Salaam wakati Akizungumza na vyombo vya habari Ikulu jijini DSM muda huu

Rais amesema mchakato wa katiba Mpya usubiri kwanza na kwa sasa ameamua kuinyoosha nchi ili ikae kwenye mstari mzuri

"Kwa sasa naomba mniache ninyooshe nchi" amesema Rais Magufuli


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo