AUDIO: Deodatus Balile azungumza Baada ya Muswada wa Habari Kupita

Siku chache baada ya bunge kupitisha muswada wa habari mwaka 2016, Makamu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile amenukuliwa na mtandao huu akifanya mahojiano na Idhaa ya kiswahili ya BBC na kuzungumza maoni yake baada ya muswada huo kupita

Sikiliza sauti yake hapo chini


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo