Angalia Video: Obama alivyokutana na Donald Trump Ikulu

Mshindi wa Urais Marekani Donald Trump ameingia Ikulu White House leo na kukutana na Rais Obama kwenye mazungumzo yao ya kwanza ana kwa ana toka Trump ashinde Urais ambapo awali kabla ya kukutana Obama alimpigia simu kumpongeza muda mfupi tu baada ya kushinda.
Akiwa White House, Trump amemuita Rais Obama ‘A very good man‘ baada ya kukutana nae IKULU White House kwa mara ya kwanza toka ashinde Urais, unaweza kuitazama hii video hapa chini uone wakiongea IKULU.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo