Leo October 27 2016 mbele ya waandishi wa habari Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi, William Lukuvi, waandishi wamemuliza kuhusu ulipofikia mgogoro wa shamba hilo ambapo alijibu kuwa wameshatoa notice ya kumfutia umiliki wa shamba Sumaye sababu ni kwamba hajaliendeleza shamba hilo, Unaweza kuangalia video hii hapa chini.
Sumaye aanza Kuisoma namba, Afutiwa Umiliki wa Shamba alilokuwa haliendelezi
By
Edmo Online
at
Thursday, October 27, 2016