Sumaye aanza Kuisoma namba, Afutiwa Umiliki wa Shamba alilokuwa haliendelezi

 Eneo la shamba ambalo liko maeneo ya Mabwebande linalomilikiwa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye  ambalo linadaiwa kuwa wananchi walilivamia baada ya kuona haliendelezwi kwa muda mrefu na kuweka makazi katika shamba hilo lenye hekari 33.


Leo October 27 2016 mbele ya waandishi wa habari Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi, William Lukuvi, waandishi wamemuliza kuhusu ulipofikia mgogoro wa shamba hilo ambapo alijibu kuwa wameshatoa notice ya kumfutia umiliki wa shamba Sumaye sababu ni kwamba hajaliendeleza shamba hilo, Unaweza kuangalia video hii hapa chini.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo