Breaking News: Maamuzi Mapya ya Rais Magufuli kuhusu Mwenge wa Uhuru

Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Rais Dkt. John Pombe Magufuli awataka viongozi Wote walioalikwa kuhudhuria kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukumbu ya Baba wa Taifa kutokuhudhuria maadhimisho hayo na badala yake watafute namna ya kuadhimisha katika maeneo yao huku lengo nikupungua matumizi ya Serikali.
Rais Magufuli ameagiza wale wote waliopewa posho na nauli za safari warejeshe mara moja fedha hizo. (Soma zaidi hapa katika taarifa ya Ikulu)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo