Treni yaua mtu mmoja baada ya kuIdandia Kariakoo

Treni inayotoka Stesheni ya Posta kwenda Pugu mida ya saa 12 jioni, iimesababisha mtu mmoja kufariki baada ya huyo mtu aliye dandia treni na kudondoka chini wakati likiwa katika mwendo. Kijana huyo ambaye jina halikuweza kufahamika mara moja alidandia treni hiyo Wakati ikiwa Kamata Kariakoo kwenda Stesheni akiwa na lengo la kugeuza nalo kwenda Pugu.

Ndipo akalidandia likiwa kwenye mwendo huku milango ya treni ikiwa haijafunguliwa huku akiwa ananing’inia kwa nje ndipo alipojibamiza kwenye kingo za treni na kudondoka chini.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo