Mgodi wa mchina anayedaiwa kuua mfanyakazi wafungwa

Ofisi ya madini mkoani Geita imeufunga mgodi wa dhahabu wa Nyamahuna uliopo Wilaya ya Geita kupisha uchunguzi, kufuatia kifo cha mfanyakazi wake.

Kaimu ofisa madini mkoani hapa, Fabian Mshai amesema wameufunga kuchunguza tuhuma zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kuwa raia wa China amempiga mfanyakazi wake na kumuua.

Tayari vyombo vya usalama vimeanza kuchunguza mgodi huo unaomilikiwa na Mtanzania, Edru Bolle.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo