Naibu
Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari
kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima (Media car wash)
iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma ambapo alichangia
shilingi milioni tano.


Naibu
Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akishiriki Kampeni ya kuosha Magari
kwa ajili ya kuchangia Waandishi wa Habari kupata Bima ya Afya (Media
car wash) iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma. Kushoto ni
Naibu Waziri wa Afya Dkt Hamis Dr. Hamisi A. Kigwangalla








