Mkuu wa Mkoa wa Njombe apiga stop "hamahama" ya Watumishi Makete

Mkuu wa mkoa wa Njombe DKT REHEMA NCHIMBI ametoa wito kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Makete  kwamba kwa mtumishi yeyote atakae hama kwa hila wilayani Makete hatafanya kazi sehemu yoyote na atatumbuliwa huko huko aliko

Sikiliza sauti hapa chini


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo