Serikali yataja ni lini Itajenga barabara ya Njombe Makete kwa lami (Audio)

Mbunge wa Makete Prof Sigalla

Mbunge Prof Sigalla
Mbunge Prof Sigalla
Hatimaye Serikali imetoa kauli bungeni kuhusu ni lini itajenga kwa kiwango cha lami Barabara kutoka Njombe hadi Makete

Hii inafuatia swali lililoulizwa na Mbunge wa Makete Mh Prof Noman Sigalla kwa wizara ya ujenzi uchukuzi na mawasiliano

Sikiliza sauti ya Naibu waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Mh Edwin Ngonyani wakati akijibu swali hilo kwa kubonyeza play hapo chini


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo