Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Mh Egnatio Mtawa ambaye alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya wiki ya maji akipanda mti katika chanzo cha maji Masisiwe
Wadau wakijadili jambo baada ya kupanda miti
Maji yakikielekea kwenye chanzo
Diwani wa UKWAMA Augustino Tweve akipanda mti
Bw. Kalongola akipanda mti kwa niaba ya DED Makete
Mhandisi wa Maji akisoma taarifa
Kalongola akitoa neno
Mh Mtawa akitoa hotuna yake kwa wananchi
Wananchi wa Masisiwe wakisikiliza jambo
Wakielekea makwao