Picha za DC Sarah Dumba alivyozikwa jijini Dar

1.Ndugu wa marehemu Sarah Dumba akishikilia picha ya marehemu enzi za  uhai wake.-001    Ndugu wa marehemu Sarah Dumba akishikilia picha ya marehemu enzi za  uhai wake.2.Waombolezaji wakiwa katika makaburi ya Kigogo Kigamboni jijini Dar tayari kwa ajili ya mazishi ya Sarah Dumba.-001Waombolezaji wakiwa katika makaburi ya Magogoni, Kigamboni jijini Dar tayari kwa ajili ya mazishi ya marehemu Sarah Dumba.3.Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe  marehemu, Sarah Dumba.-001Mafundi wakijengea kaburi la marehemu Sarah Dumba.5.-001Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe  marehemu, Sarah Dumba.

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Sarah Dumba aliyefariki dunia Machi 21, mwaka huu amezikwa leo katika makaburi ya Magogoni, Kigamboni jijini Dar es Salaam ambapo ndugu jamaa na marafiki wameshiriki katika mazishi hayo.
Na Denis Mtima/Gpl


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo