Rais Magufuli awasili jijini Arusha, Angalia hapa


Rais Magufuli akiwasili uwanja wa Ndege wa KIA kwa Mkutano wa 17 wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki unaotarajiwa kufanyika Machi 2, 2016.

Pichani, Rais Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Mhe. Joshua Nassari(CHADEMA) aliyekuwa mmoja wa viongozi na wananchi waliojitokeza kwa wingi kumpokea alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki utofanyika jijini Arusha.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo