Machinga Mbeya Waandamana kupinga bomoabomoa, polisi wawatawanya kwa mabomu


Wafanyabiashara ndogondogo eneo la Kabwe, Mbeya ndiyo waliofanya vurugu kwa kuchoma matairi barabarani katika eneo hilo wakipinga hatua ya serikali kubomoa vibanda vyao.

Vibanda hivyo vilibomolewa usiku wa kuamkia leo. Wafanyabiashara walipofika Kabwe na kuona wamebomolewa, ndipo walipofanya vurugu.

Vurugu hizo zimepungua sasa baada ya Polisi kuwatawanya wafanyabiashara hao.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo