Mchungaji akutwa akiwanga kwa mganga wa kienyeji huku akiwa mtupu kama alivyozaliwa

Mchungaji kiongozi wa makanisa ya Holiness of Heaven Ministries ya mjini Orlu Nigeria, amepata aibu ya mwaka baada ya kubambwa akipaka ‘ndumba’ kwa mganga wa kienyeji.
Inasemekana Mchungaji huyo ni maarufu zaidi kwa miujiza katika Jimbo hilo.
Siku ya tukio wananchi walitonywa na muumini mmoja kuelekea nyumbani kwa mganga, anayesemekana ndiye ambaye humpa nguvu ya kufanya miujiza.
Baada ya kumtia mkononi Mchungaji huyo, wananchi walianza kumtembeza ‘uchi’ mitaani.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo