HABARI ZA HIVI PUNDE:
Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mwigulu Nchemba atoa saa 48 kwa kampuni ya Sparkway ltd kulipa BIllion 3.4 kwa wakulima wa korosho Mkoa wa Pwani.
Kufuatia agizo hio,Wakulima waliouza korosho hiyo wataanza kulipwa jumatatu ya tar.21.12.2015.



