Chama cha Walimu wilayani Makete chatoa msimamo wao kuhusu madai yao kwa serikali

Mara nyingi kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na chama cha walimu (CWT) hapa nchini, kwa kiasi kikubwa zimekuwa zikikumbushia madai yao kwa serikali

Hali hiyo imekumbushwa tena na chama cha walimu wilaya ya Makete mkoani Njombe kupitia kwa katibu wake Bi Elizabeth Sikawe katika mahojiano maalum na mwandishi wa Eddy Blog, kama sauti hiyo hapo chini inavvyoweka mambo hadharani


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo