Habari za hivi punde:Makonta 11,884 yamebainika kutolewa bandarini bila malipo na kusababisha hasara ya bilion 47.4.
Pamoja na magari 2019 yalitolewa bila kulipiwa ambapo makontena hayo ni tofauti na yale ya Waziri Mkuu majaliwa.
Kufuatia hali hiyo Watumishi 7 wa bandarini wanashikiliwa na jeshi la
polis na wengine 8 wametoroka na wanaendelea kutafutwa na jeshi la polisi
Chanzo: Startv
#Habari za hivi punde:Makonta 11,884 yamebainika kutolewa bandarini bila malipo na kusababisha hasara ya bilion 47.4....
Posted by Habari Star TV Tanzania on Tuesday, December 29, 2015