Bei ya nyama yapanda ghafla Makete

Nyama ya ng'ombe katika maduka kadhaa ya kuuzia nyama hiyo eneo la Tandala wilaya ya Makete mkoani Njombe imepanda ghafla kutoa Ths. 6000 kwa kilo moja na kufikia sh. 7000 kwa kilo moja huku steki ikiuzwa 8000 kwa kilo moja

Jambo hilo limeonekana kulalamikiwa na wateja mbalimbali huku wamiliki wa mabucha hayo wakisema wamepandisha bei kutokana na soko la kuuza mifugo ng'ombe nazo zimepanda bei


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo