Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Mhe Samia Suluhu Hassan, Mgombea mwenza wa ugombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho tawala Dkt John Pombe Magufuli Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
:Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM tawala Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wazee wa Dar es salaam Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Meza Kuu ikimfurahia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM tawala Dkt John Pombe Magufuli akiongea na wazee wa Dar es salaam Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Wazee wa CCM wa Dar es salaam akipeana mikono na Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM tawala Dkt John Pombe Magufuli baada ya kuongea na wazee wa Dar es salaam Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Mwenyekiti wa Wazee wa CCM wa Dar es salaam akipeana mikono na Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM tawala Samia Hassan baada ya kuongea na wazee wa Dar es salaam Agosti 19, 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Meza Kuu ikimfurahia jambo. PICHA NA IKULU