Bibi huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa kwenye mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Iringa jana, huku akiwa amejivisha bango la kauli mbiu isemayo "Watanzania wanahitaji mabadiliko" jambo lililowashangaza watu wengi waliofika mkutanoni hapo
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE OKTOBA 29, 2024
14 minutes ago