WANANCHI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

 Wananchi wajitokeza kujiandikisha katika Daftari la wapiga kura Kutoka kushoto ni Mzee Thomas Fulla akijiandikisha katika daftari la wapiga kura katika kituo  cha Sinza Kumekucha jijini Dar es salaam leo, Kulia aliyekaa ni  Mwandikishaji msaidizi,Hawa Bushiri na Mwongozaji wa kutumia mashine za (BVR), Biometric Vote Registration Salimu Said.
 Mzee Thomas Fulla akijiandaa kupiga picha kwaajili ya kupata kitambulisho cha kumwezesha kupiga kura mwaka 2015,wakati wa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura katika kituo  cha Sinza Kumekucha jijini Dar es salaam leo.
Wananchi wakiwa katika  foleni ya kujiandikisha mara baada ya kupata namba ambazo zitamwezesha kufikia kujiandikisha kwa wanao andikisha leo katika,ikiwa kila kituo inaakiwa kuandikisha watu 100 na mpaka kuikia saa tano namba 1hadi 100 zilikuwa ayai mikononi mwa watu waliojitokeza  kujiandikisha katika daftari la wapiga kura katika kituo  cha Sinza Kumekucha jijini Dar es salaam leo.
Picha na Avila Kakingo,Globu ya Jamii. 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo