TAARIFA YA MAFANIKIO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE KWA MIAKA MITANO TANGU 2010-2015

Hii ni taarifa ya maendeleo yaliyofanywa na serikali kwa kushirikiana na wananchi na watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Makete tangu mwaka 2010 hadi mwaka huu 2015, kama ilivyosomwa na aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mh. Daniel Okoka kabla ya baraza hilo kuvunjwa hivi karibuni.

Sikiliza sauti hiyo hapo chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo