
Jeneza lenye mwili wa marehemu Koplo Gaudin Kakoko, likiwa nyumbani kwa marehemu, Majohe,
Ilala Jijini Dar es Salaam tayari kwa mwili wa marehemu kuagwa na wapendwa wake,Mwili huo
ulisafirishwa jana kupelekwa kwao wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera kwa mazishi. Marehemu nimmoja wa askari wanne waliouawa na majambazi hivi majuzi baada ya kukivamia kituo cha polisi
Stakishari, Ukonga, Ilala Jijini Dar es Salaam, Mungu ailaze roho ya marehemu wote mahali pema
peponi.

Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu Majohe, Ilala Jijini Dar es Salaam
tayari kuuaga mwili wa marehemu Koplo Kakoko amba0 ulisafirishwa jana kupelekwa kwao Wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera.