Basi la Kidia One lapata ajali Mwanza

Muonekano wa basi la Kidia One baada ta kupata ajali jijini Mwanza.

Basi  la Kidia One lenye namba za usajili T 449 ASZ limepata ajali leo asubuhi  maeneo ya Mkolani, jijini Mwanza hakuna abiria aliyepoteza maisha.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo