Waliokuwa wabunge wa CCM, Mzee James Lembeli (kulia) na Easter Bulaya wakiwa katika mkutano wa Chadema leo jijini Mwanza.
Marafiki wawili, Easter Bulaya akifurahia jambo na Halima Mdee.
Viongozi wa Chadema baada ya kufika kwenye uwanja wa mkutano.

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbrod Slaa akiwasalimia wananchi mkutanoni.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi