MUHAMMADU BUHARI ASHINDA KATIKA UCHAGUZI WA NIGERIA


Kiongozi wa zamani wa kijeshi Muhammadu Buhari amekuwa mgombea wa kwanza wa chama cha upinzani kushinda uchaguzi wa urais nchini Nigeria.



Rais aliyemadarakani Goodluck Jonathan amempigia simu Jenerali Buhari jana usiku kumpongeza kwa ushindi na kukubali kushindwa.



Matokeo rasmi yanaonyesha Jenerali Buhari anaongoza kwa kupata kura zaidi ya milioni mbili dhidi ya Jonathan.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo