Raia waliokuwepo eneo la tukio wakishangaa.
Duka la vinywaji lililoibiwa.
Sehemu ambayo majambaji wameiba silaha Bunduki aina ya Short Gun.
Askari akiwa ndani ya duka la vinywaji akifanya mahojiano na wahusika.
VITENDO
vya ujambazi vinazidi kushika kasi kwenye jiji la Dar, ambapo tukio
jingine limetokea leo mishale ya saa kumi jioni maeneo ya Mikocheni
Kwa-Mwalimu Nyerere baada ya watu wanne kutinga eneo hilo wakiwa na
pikipiki na kumpora mlinzi silaha aina ya Short Gun aliyekuwa akilinda
kwenye ATM ya CRDB. Majambazi hao waliitumia bunduki hiyo kwa kuvamia
duka la vinywaji lililokuwa jirani na kuiba kiasi kikubwa cha pesa japo
hakikuweza kufahamika kwa wakati huo.
(HABARI/PICHA: MAYASA MARIWATA NA SHANI RAMADHANI/GPL)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi