skip to main |
skip to sidebar
BREAKING NEWSSSSS....BASI LA ARUSHA EXPRESS LAPATA AJALI MBAYA YA KUGONGANA NA LORI
Ajali Arusha: Imetokea ajali ikilihusisha basi la Arusha Express Lenye namba za usajili T 206 BEF na
Lori baada ya dereva wa basi kujaribu ku-overtake na kukutana na lori
mbele yake
- Hakuna vifo isipokuwa abiria wa Lori ndio wameumia na kukimbizwa Hospitali, na basi hilo lilikuwa likitoka Arusha Kuelekea jijini Mbeya leo asubuhi
taarifa zaidi utazidi kuzipata hapa hapa 

JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi