Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah
Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili
jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia
ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye
thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo
kijiko na kigae.
Chid
Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa hayo.
Mwanamuziki
huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo
akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la
muziki.
Hata hivyo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imemwachia huru mwanamuziki huyo baada ya kulipa faini ya 900,000/
ANGALIA VIDEO HII
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube