Huyu ndiye aliyekuwa msichana ‘special’ kwenye birthday ya Millard Ayo


Mtangazaji wa kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM, Millard Ayo, jana alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Kwenye party yake ndogo ambayo aliamua kuifanyia nyumba kwake, ni msichana mmoja tu special aliyepata nafasi exclusive ya kusherehekea naye – Jokate Mwegelo.
 
“This is what you do after you cook. You eat cake lol. Happy Birthday to the GREATEST to ever do it @millardayo,” alitweet Jokate.
 
Siku za hivi karibuni wawili hao wamekuwa wakidaiwa kuwa na uhusiano. Hata hivyo Jokate alikanusha.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo