Demu wa Kenya Tiara Arudi Tena....Atuma Video Nyingine kwa Diamond Akiwa Anaoga na Kusema Yupo Tayari Kufanya Nae Project

Kuwa Staa raha sana.Baada ya Diamond kutumiwa video na mrembo wa Kenya akimtaka amchukukue yeye bila Malipo huku akijichezesha  kimahaba kwenye hiyo video, Diamond inaonekana hakupata Ujumbe wa kwanza sawa sawa....
 
Sasa Mrembo huyo amerudi tena na kali zaidi ya ile . Mrembo huyo ajulikanae kama Tiara ameachia  video  nyiningine  akiwa bafuni akioga huku wimbo wa Bebe Cool unaitwa i will love you everyday ukilia kwa nyuma ili Diamond amuone Vizuri kwani ile Video ya Mwanzo ilikuwa na Giza..Mrembo huyo pia amesema yeye ni MwanamuziKI na angependa kufanya Project na Diamond Platunumz


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo