skip to main |
skip to sidebar
LWAKATARE WA CHADEMA ASHINDA KESI YA UGAIDI
MKURUGENZI
wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Maendeleo (Chadema) Taifa, Mhe.
Wilfred Lwakatare ameshinda kesi ya ugaidi iliyokuwa inamkabili.
Kesi hiyo imeendeshwa katika Mahakama ya Rufaa Tanzania.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi