LORI LA MAFUTA LAPINDUKA JIJINI DAR ES SALAAM


Lori la mafuta likiwa limepinduka eneo la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa, Dar. Kikosi cha Zima Moto kikiwa eneo la tukio.Makamanda wa Polisi wakiwa eneo la tukio kuimarisha ulinzi.Magari mengine yakiwa kwenye foleni katika eneo hilo.
Na Mwandishi Wetu
LORI lililokuwa limebeba Mafuta ya Petroli, limepinduka leo jioni na kumwaga mafuta katika makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa jijini Dar es Salaam. Hakuna aliyedhurika katika ajali hiyo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo