Saa
kadhaa zilizopita Polisi walimfyatulia risasi mtuhumiwa aliejaribu
kutoroka baada ya kufikishwa kwenye Mahakama ya Kisutu Dar es salaam
asubuhi ya December 31 2014.
Muda mfupi baadae Polisi ikatoa taarifa kwamba mtuhumiwa wa dawa za
kulevya aliyeuwawa ni Abdul Koroma raia wa Sierra Leone na aliuwawa kwa
risasi wakati akitoroka Mahakamani.
Mtuhumiwa wa dawa za kulevya Adul Koroma raia wa Sierra Leone amepigwa risasi na kufa leo asubuhi wakati akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam.
Mtuhumiwa wa madawa ya kulevya raia wa Sierra Leone akiwa amepigwa risasi baada ya kutaka kuwatoroka askari magereza katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

