WATU WAWILI WAFARIKI DUNIA WAKIBATIZWA NDANI YA ZIWA VICTORIA


Watu wawili wamefariki dunia baada ya kuzama ndani ya ziwa Victoria walipokuwa wanabatizwa na mchungaji Nehemia Upendo wa kanisa la POOL of SILOAM. 
 
Wakati wakiendelea na ubatizo wimbi likawapiga na kusababisha watu wawili kupoteza maisha.
 
Tutazidi kuwajulisha kwa kadri tunavyozipata habari zetu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo