PENZI LA SHILOLE NA MZIWANDA DUUUUUUUUUHHHH.....!!!!!!



Mapenzi ya Nuh Mziwanda na Shilole yaliyoripotiwa kuvunjika hivi karibu yamerudi kwa nguvu zaidi siku ya jana   ambapo  wapenzi  hao walisambaza  picha kupitia account zao za  Instagram wakiwa pamoja kama ishara ya mapenzi yao kuongezeka zaidi.
  
Nuh na Shilole wote waliweka picha instagram kuonyesha wamepatana na mapenzi yatadumu zaidi ya miezi kadha iliyotabiriwa.
 
 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo