MWANAMKE KICHAA AKUTWA NA MAITI YA MTOTO WA MIAKA MITANO NA HIRIZI KIBAO

Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili (pichani ) amekutwa na maiti ya mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitano katika mji wa Lagos nchini Nigeria mapema leo asubuhi.
 
Mbali na kukutwa na maiti ya mtoto huyo,kichaa huyo pia amekutwa na rundo la hirizi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo