MADUKA ZAIDI YA 20 YABOMOLEWA MTAA WA KIMWERI, MSASANI JIJINI DAR

  Meneja wa kampuni ya MEM AUCTIONEERS AND GENERAL BROKERS LTD akizungumza na waandishi eneo la tukio na kuelezea jinsi wanavyotekeleza amri ya mahakama.
  Hii ndiyo hati ya amri ya mahakama iliyotolewa kwa ajili ya kuwahamisha wapangaji hao
  Mfanyabishara mmoja aliyejulikana kwa jina la Moses akijaribu kuokoa vitu vyake bila mafanikio.
 Wafanya biashara wakitoa bidhaa zao kwenye maduka hayo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo